Genesis 2:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Dhahabu ya nchi hiyo ni safi kabisa. Huko pia kuna marashi yaitwayo bedola na vito viitwavyo shohamu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
(Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri; bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.)
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Dhahabu ya nchi hiyo ni safi kabisa. Huko pia kuna marashi yaitwayo bedola na vito viitwavyo shohamu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
(Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, lulu na vito shohamu pia hupatikana huko.)
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
(Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.)
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Dhahabu ya nchi hiyo ni safi kabisa. Huko pia kuna marashi yaitwayo bedola na vito viitwavyo shohamu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nayo dhahabu ya nchi hii ilikuwa nzuri; tena kulikuwako magwede na vito vya oniki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zahabu ya inchi hiyo ni safi kabisa. Kule vilevile kuna marasi ya bedola na mawe mazuri ya sohamu.