Genesis 2:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
lakini kamwe usile matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.”
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
lakini mti wa kujulia mema na mabaya usiule! Kwani siku, utakapoula, huna budi kufa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini usikule matunda ya muti wa kujua mazuri na mabaya, maana siku utakapokula matunda ya muti ule, hakika utakufa.”