Genesis 21:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Na kuhusu huyo mwana wa mjakazi wako, nitamfanya awe baba wa taifa kubwa kwa kuwa yeye pia ni mtoto wako.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Nitamfanya huyu mwana wa mjakazi wako kuwa taifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Na kuhusu huyo mwana wa mjakazi wako, nitamfanya awe baba wa taifa kubwa kwa kuwa yeye pia ni mtoto wako.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Nitamfanya huyu mwana wa mtumishi wako wa kike kuwa taifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Nitamfanya huyu mwana wa mtumishi wako wa kike kuwa taifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Na kuhusu huyo mwana wa mjakazi wako, nitamfanya awe baba wa taifa kubwa kwa kuwa yeye pia ni mtoto wako.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini mwana wa kijakazi naye nitamweka kuwa taifa zima, kwani naye ni uzao wako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye mwana wa mjakazi nitamfanya kuwa taifa, maana huyu naye ni uzao wako.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Na juu ya huyo mwana wa mujakazi wako nitamufanya akuwe baba wa taifa kubwa kwa sababu yeye vilevile ni mutoto wako.”