Genesis 21:15 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ikawa maji yalipomwishia katika kile kiriba, Hagari akamlaza mwanawe chini ya mti.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Maji yalipokwisha kwenye kiriba, Hajiri akamwacha kijana chini ya kichaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yale maji yakaisha katika kiriba, akamlaza kijana chini ya kijiti kimoja.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ikawa maji yalipomwishia katika kile kiriba, Hagari akamlaza mwanawe chini ya mti.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Maji yalipokwisha kwenye kiriba, akamwacha kijana chini ya mojawapo ya vichaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Maji yalipokwisha kwenye kiriba, akamwacha kijana chini ya mojawapo ya vichaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yale maji yalipoisha katika kiriba, Hajiri akamlaza kijana kichakani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ikawa maji yalipomwishia katika kile kiriba, Hagari akamlaza mwanawe chini ya mti.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Maji yalipokwisha kibuyuni, akamwacha mwanawe chini ya kijiti,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yale maji yakaisha katika kiriba, akamlaza kijana chini ya kijiti kimoja.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Wakati maji yalipomwishia katika lile chupa, Hagari akamulalisha mwana wake chini ya muti.