Genesis 22:14 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo, Abrahamu akapaita mahali hapo, “Mwenyezi-Mungu hujalia.” Kama isemwavyo hata leo, “Katika mlima wa Mwenyezi-Mungu, watu hujaliwa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ibrahimu akapaita mahali pale Yehova-Yire. Hadi leo inasemekana, “Katika mlima wa Mwenyezi Mungu itapatikana.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ibrahimu akapaita mahali hapo Yehova-yire,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo, Abrahamu akapaita mahali hapo, “Mwenyezi-Mungu hujalia.” Kama isemwavyo hata leo, “Katika mlima wa Mwenyezi-Mungu, watu hujaliwa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Abrahamu akapaita mahali pale Yehova-Yire, yaani BWANA atatupatia. Mpaka siku ya leo inasemekana, “Katika mlima wa BWANA itapatikana.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ibrahimu akapaita mahali pale Yehova-Yire. Mpaka siku ya leo inasemekana, “Katika mlima wa bwana itapatikana.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Abrahamu akapaita mahali hapo Yehova-yire, kama watu wasemavyo hata leo, Katika mlima wa BWANA itapatikana.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo, Abrahamu akapaita mahali hapo, “Mwenyezi-Mungu hujalia.” Kama isemwavyo hata leo, “Katika mlima wa Mwenyezi-Mungu, watu hujaliwa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Aburahamu akapaita mahali hapo: Bwana aona; kwa hiyo watu husema hata leo: Mlimani, Bwana anakoonwa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ibrahimu akapaita mahali hapo Yehova-yire, kama watu wasemavyo hata leo, Katika mlima wa BWANA itapatikana.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo, Abrahamu akapaita pahali pale: “Yawe anajalia,” kama inavyosemwa hata leo: “Kwa mulima wa Yawe, watu wanajaliwa.”