Genesis 22:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Bethueli alimzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori, ndugu yake Abrahamu, watoto hao wanane.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Ibrahimu hao wana wanane.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Bethueli akamzaa Rebeka; hao wanane Milka alimzalia Nahori ndugu wa Ibrahimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Bethueli alimzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori, ndugu yake Abrahamu, watoto hao wanane.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wana wanane.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Ibrahimu hao wana wanane.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Bethueli akamzaa Rebeka; hao wanane Milka alimzalia Nahori ndugu wa Abrahamu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Bethueli alimzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori, ndugu yake Abrahamu, watoto hao wanane.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Betueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia ndugu yake Aburahamu hao wanane,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Bethueli akamzaa Rebeka; hao wanane Milka alimzalia Nahori ndugu wa Ibrahimu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Betueli alizaa Rebeka. Milka alimuzalia Nahori, ndugu ya Abrahamu, watoto hao wanane.