Genesis 22:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Zaidi ya hayo, Reuma, suria wa Nahori, pia alimzalia watoto: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma pia alizaa wana: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na suria wake Reuma naye alizaa Teba na Gahamu na Tahashi na Maaka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Zaidi ya hayo, Reuma, suria wa Nahori, pia alimzalia watoto: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma pia alikuwa na wana: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma pia alikuwa na wana: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na suria wake Reuma naye alizaa Teba na Gahamu na Tahashi na Maaka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Zaidi ya hayo, Reuma, suria wa Nahori, pia alimzalia watoto: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
naye suria yake aliyeitwa Ruma akamzaa Teba, tena Gahamu na Tahasi na Maka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na suria wake Reuma naye alizaa Teba na Gahamu na Tahashi na Maaka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zaidi ya hayo, Reuma, habara ya Nahori, vilevile alimuzalia watoto: Teba, Gahamu, Tahasi na Maka.