Genesis 23:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokutanika penye lango la mji.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
kwa Ibrahimu kuwa mali yake mbele ya Wahiti wote waliokuwa wamekuja kwenye lango la mji.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
kuwa mali yake Ibrahimu, mbele ya wazawa wa Hethi, mbele ya watu wote waingiao katika mlango wa mji wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokutanika penye lango la mji.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
kwa Abrahamu kuwa mali yake mbele ya Wahiti wote waliokuwa wamekuja kwenye lango la mji.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
kwa Ibrahimu kuwa mali yake mbele ya Wahiti wote waliokuwa wamekuja kwenye lango la mji.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
kuwa mali yake Abrahamu, mbele ya wazawa wa Hethi, mbele ya watu wote waingiao katika mlango wa mji wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokutanika penye lango la mji.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
yote pamoja yakawa mali yake Aburahamu machoni pao wana wa Hiti wote waliokuja langoni penye mji wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
kuwa mali yake Ibrahimu, mbele ya wazawa wa Hethi, mbele ya watu wote waingiao katika mlango wa mji wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokutanika kwa mulango wa muji.