Genesis 23:3 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Abrahamu akaiacha maiti ya mkewe, akatoka kwenda kuzungumza na Wahiti, akawaambia,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Ibrahimu akainuka kutoka pale penye maiti ya mke wake. Akazungumza na Wahiti, akasema,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaondoka Ibrahimu kutoka mbele ya maiti wake, akasema na wazawa wa Hethi, akinena,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Abrahamu akaiacha maiti ya mkewe, akatoka kwenda kuzungumza na Wahiti, akawaambia,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Abrahamu akainuka kutoka pale penye maiti ya mke wake. Akazungumza na Wahiti, akasema,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Ibrahimu akainuka kutoka pale penye maiti ya mke wake. Akazungumza na Wahiti, akasema,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaondoka Abrahamu kutoka mbele ya maiti wake, akasema na wana wa Hethi, akinena,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Abrahamu akaiacha maiti ya mkewe, akatoka kwenda kuzungumza na Wahiti, akawaambia,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Aburahamu akaondoka kwa mfu wake, akasema na wana wa Hiti kwamba:
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaondoka Ibrahimu kutoka mbele ya maiti wake, akasema na wazawa wa Hethi, akinena,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Abrahamu akaacha maiti ya muke wake, akatoka na kwenda kuzungumuza na Wahiti, akawaambia: