Genesis 23:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akawaambia, “Ikiwa mnaniruhusu nimzike marehemu mke wangu, tafadhali mwombeni Efroni mwana wa Sohari, kwa niaba yangu,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akawaambia, “Kama mnaniruhusu kumzika maiti wangu, basi nisikilizeni, mkamsihi Efroni mwana wa Sohari kwa niaba yangu
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akazungumza nao, akisema, Ikiwa nia yenu nimzike maiti wangu atoke mbele yangu, mnisikie, mkaniombee kwa Efroni bin Sohari,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akawaambia, “Ikiwa mnaniruhusu nimzike marehemu mke wangu, tafadhali mwombeni Efroni mwana wa Sohari, kwa niaba yangu,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akawaambia, “Kama mnaniruhusu kumzika maiti wangu, basi nisikilizeni mkamsihi Efroni mwana wa Sohari kwa niaba yangu
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akawaambia, “Kama mnaniruhusu kumzika maiti wangu, basi nisikilizeni mkamsihi Efroni mwana wa Sohari kwa niaba yangu
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akazungumza nao, akisema, Ikiwa nia yenu nimzike maiti wangu atoke mbele yangu, mnisikie, mkaniombee kwa Efroni mwana wa Sohari,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akawaambia, “Ikiwa mnaniruhusu nimzike marehemu mke wangu, tafadhali mwombeni Efroni mwana wa Sohari, kwa niaba yangu,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akasema nao kwamba: Roho zenu zikiitikia kwamba: Nimzike mfu wangu aliomo nyumbani mwangu, nisikilizeni, mniombee kwa Efuroni, mwana wa Sohari,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akazungumza nao, akisema, Ikiwa nia yenu nimzike maiti wangu atoke mbele yangu, mnisikie, mkaniombee kwa Efroni bin Sohari,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
akawaambia: “Ikiwa munaniruhusu nimuzike marehemu muke wangu, tafazali mumwombe Efuroni mwana wa Sohari, kwa ajili yangu,