Genesis 24:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Msichana akamjibu, “Haya kunywa bwana wangu.” Na papo hapo akautua mtungi wake, akiushikilia ili amnyweshe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yule msichana akasema, “Kunywa, bwana wangu.” Akashusha kwa haraka mtungi mkononi mwake na akampa, akanywa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye akasema, Unywe, bwana wangu, akafanya haraka, akatua mtungi wake mkononi mwake, akamnywesha.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Msichana akamjibu, “Haya kunywa bwana wangu.” Na papo hapo akautua mtungi wake, akiushikilia ili amnyweshe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yule msichana akasema, “Kunywa, bwana wangu.” Akashusha kwa haraka mtungi mkononi mwake na akampa, akanywa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yule msichana akasema, “Kunywa, bwana wangu.” Akashusha kwa haraka mtungi mkononi mwake na akampa, akanywa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye akasema, Unywe, bwana wangu, akafanya haraka, akatua mtungi wake mkononi mwake, akamnywesha.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Msichana akamjibu, “Haya kunywa bwana wangu.” Na papo hapo akautua mtungi wake, akiushikilia ili amnyweshe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye akasema: Haya! Unywe, bwanangu! Akaushusha upesi mtungi wake mkononi mwake, akampa, anywe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye akasema, Unywe, bwana wangu, akafanya haraka, akatua mtungi wake mkononi mwake, akamnywesha.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Binti akamujibu: “Kunywa, ee bwana wangu.” Na palepale akatua mutungi wake, akiushikilia kusudi amukunyweshe.