Genesis 24:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alipokwisha kumpatia maji, akamwambia, “Nitawatekea maji ngamia wako pia, wanywe mpaka watosheke.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Baada ya kumpa yule mtumishi yale maji, akamwambia, “Nitawatekea ngamia wako maji pia hadi wote watosheke.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Hata alipokwisha kumnywesha akasema, Na ngamia zako nitawatekea, hata watakapokwisha kunywa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alipokwisha kumpatia maji, akamwambia, “Nitawatekea maji ngamia wako pia, wanywe mpaka watosheke.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Baada ya kumpa yule mtumishi yale maji, akamwambia, “Nitateka maji kwa ajili ya ngamia zako pia mpaka wote watosheke.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Baada ya kumpa yule mtumishi yale maji, akamwambia, “Nitateka maji kwa ajili ya ngamia zako pia mpaka wote watosheke.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Hata alipokwisha kumnywesha akasema, Na ngamia wako nitawatekea, hadi watakapokwisha kunywa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alipokwisha kumpatia maji, akamwambia, “Nitawatekea maji ngamia wako pia, wanywe mpaka watosheke.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipokwisha kumnywesha, akasema: Ngamia wako nao nitawachotea, hata wamalize kunywa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Hata alipokwisha kumnywesha akasema, Na ngamia zako nitawatekea, hata watakapokwisha kunywa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Alipokwisha kumupatia maji, akamwambia: “Nitatekea ngamia wako maji vilevile, wakunywe mpaka watosheke.”