Genesis 24:25 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na mahali pa kulala wageni.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena akamwambia: Majani ya kulisha ngamia kwetu ni mengi, hata mahali pa kulala usiku pako.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha na pahali pa kulala kwa wageni.”