Genesis 24:55 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lakini ndugu na mama yake Rebeka wakasema, “Mwache msichana akae nasi muda mfupi, kama siku kumi hivi; kisha anaweza kwenda.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lakini ndugu yake Rebeka pamoja na mama yake wakajibu, “Acha binti akae kwetu siku kumi au zaidi, ndipo mwondoke.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ndugu yake na mama yake wakasema, Msichana na akae kwetu kama siku kumi, zisipungue, baadaye aende.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lakini ndugu na mama yake Rebeka wakasema, “Mwache msichana akae nasi muda mfupi, kama siku kumi hivi; kisha anaweza kwenda.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lakini ndugu yake Rebeka pamoja na mama yake wakajibu, “Acha binti akae kwetu siku kumi au zaidi, ndipo mwondoke.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lakini ndugu yake Rebeka pamoja na mama yake wakajibu, “Acha binti akae kwetu siku kumi au zaidi, ndipo mwondoke.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Kaka yake na mama yake wakasema, Msichana na akae kwetu kama siku kumi, zisipungue, baadaye aende.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lakini ndugu na mama yake Rebeka wakasema, “Mwache msichana akae nasi muda mfupi, kama siku kumi hivi; kisha anaweza kwenda.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini kaka yake na mama yake wakasema: Acha kwanza, huyu kijana akae kwetu siku kidogo kama kumi! Halafu atakwenda,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndugu yake na mama yake wakasema, Msichana na akae kwetu kama siku kumi, zisipungue, baadaye aende.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lakini wandugu na mama ya Rebeka wakasema: “Umwache binti akae nasi muda mufupi, kama siku kumi hivi; kisha anaweza kwenda.”