Genesis 25:27 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Watoto hao wakakua; Esau akawa mwindaji hodari, mpenda maisha ya mbugani, na Yakobo akawa mtu mtulivu, mpenda maisha ya nyumbani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Watoto wakakua. Esau akawa mwindaji hodari, mtu wa mbugani, naye Yakobo akawa mtu mtulivu, mwenye kukaa nyumbani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Watoto wakakua, Esau alikuwa mtu ajuaye kuwinda wanyama, mtu wa nyikani, na Yakobo alikuwa mtu mtulivu, mwenye kukaa hemani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Watoto hao wakakua; Esau akawa mwindaji hodari, mpenda maisha ya mbugani, na Yakobo akawa mtu mtulivu, mpenda maisha ya nyumbani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Watoto wakakua, Esau alikuwa mwindaji hodari, mtu wa mbugani, wakati Yakobo alikuwa mtu mkimya, mwenye kukaa nyumbani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Watoto wakakua, naye Esau akakuwa mwindaji hodari, mtu wa mbugani, wakati Yakobo alikuwa mtu mtulivu, mwenye kukaa nyumbani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Watoto wakakua, Esau alikuwa mtu ajuaye kuwinda wanyama, mtu wa nyikani, na Yakobo alikuwa mtu mtulivu, mwenye kukaa hemani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Watoto hao wakakua; Esau akawa mwindaji hodari, mpenda maisha ya mbugani, na Yakobo akawa mtu mtulivu, mpenda maisha ya nyumbani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Hawa watoto walipokua, Esau akawa wa porini na fundi wa kuwinda, lakini Yakobo akawa mtulivu, akapenda kukaa hemani.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Watoto wakakua, Esau alikuwa mtu ajuaye kuwinda wanyama, mtu wa nyikani, na Yakobo alikuwa mtu mtulivu, mwenye kukaa hemani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Watoto hao wakakomaa. Esau alikuwa mwindaji hodari. Alipenda maisha ya pori. Yakobo alikuwa mutu mutulivu. Alipenda maisha ya nyumba.