Genesis 25:31 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yakobo akajibu, “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yakobo akamwambia, Kwanza niuzie leo haki yako ya mzaliwa wa kwanza.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yakobo akajibu, “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yakobo akamjibu, “Niuzie kwanza haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yakobo akamwambia, Kwanza niuzie leo haki yako ya mzaliwa wa kwanza.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yakobo akajibu, “Kwanza niuzie haki yako ya mzaliwa wa kwanza.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lakini Yakobo akasema: Niuzie leo hivi ukubwa wako!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yakobo akamwambia, Kwanza niuzie leo haki yako ya mzaliwa wa kwanza.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yakobo akajibu: “Kwanza uniuzishie haki yako ya muzaliwa wa kwanza.”