Genesis 25:32 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini haki hii ya uzazi?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu ya kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Esau akasema, “Tazama, mimi niko karibu ya kufa, itanifaa nini haki ya mzaliwa wa kwanza?”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini haki hii ya uzazi?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Esau akasema, “Sawa! Niko karibu kufa; haki yangu ya mzaliwa wa kwanza itanifaa nini?”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Esau akasema: Tazama, mimi ninakwenda kufa! Hapo ukubwa utanifaa nini?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini haki hii ya uzazi?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Esau akasema: “Sawa! Niko karibu kufa. Haki yangu ya muzaliwa wa kwanza itanifaa nini?”