Genesis 25:8 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alifariki baada ya kuishi maisha marefu na ya fanaka, akajiunga na wazee wake waliomtangulia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Ibrahimu akapumua pumzi ya mwisho na akafa akiwa mwenye umri mzuri, mzee aliyeshiba siku; naye akakusanywa pamoja na watu wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ibrahimu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alifariki baada ya kuishi maisha marefu na ya fanaka, akajiunga na wazee wake waliomtangulia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Abrahamu akapumua pumzi ya mwisho na akafa mwenye umri mzuri, akiwa mzee ameshiba siku, akakusanywa pamoja na watu wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Ibrahimu akapumua pumzi ya mwisho na akafa akiwa mwenye umri mzuri, mzee aliyeshiba siku, naye akakusanywa pamoja na watu wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Abrahamu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alifariki baada ya kuishi maisha marefu na ya fanaka, akajiunga na wazee wake waliomtangulia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha Aburahamu akazimia, akafa kwa kuwa mkongwe sana, naye alikuwa mzee aliyeshiba siku zake; ndipo, alipochukuliwa kwenda kwao walio wa ukoo wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ibrahimu akafariki, naye akafa katika uzee mwema, mzee sana, ameshiba siku, akakusanyika kwa watu wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha kuishi maisha marefu na ya fanaka, akakufa na kukutana na wazee wake.