Genesis 26:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ndipo Abimeleki akawaonya watu wote akisema, “Yeyote atakayemgusa mtu huyu au mke wake, atauawa.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu wote, akisema, “Yeyote atakayemnyanyasa mtu huyu au mkewe hakika atauawa.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi Abimeleki akawaamuru watu wote, akisema, Amgusaye mtu huyu au mkewe lazima atauawa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ndipo Abimeleki akawaonya watu wote akisema, “Yeyote atakayemgusa mtu huyu au mke wake, atauawa.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu wote, akisema, “Ye yote atakayemnyanyasa mtu huyu au mkewe hakika atauawa.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu wote, akisema, “Yeyote atakayemnyanyasa mtu huyu au mkewe hakika atauawa.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi Abimeleki akawaamuru watu wote, akisema, Amgusaye mtu huyu au mkewe lazima atauawa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ndipo Abimeleki akawaonya watu wote akisema, “Yeyote atakayemgusa mtu huyu au mke wake, atauawa.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo Abimeleki akawatangazia watu wake wote kwamba: Atakayemgusa mtu huyu au mkewe hana budi kuuawa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi Abimeleki akawaamuru watu wote, akisema, Amgusaye mtu huyu au mkewe lazima atauawa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Halafu Abimeleki akawaonya watu wote akisema: “Yeyote atakayemugusa mutu huyu au muke wake, atauawa.”