Genesis 27:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Nazo ngozi za wale wana wa mbuzi akamvika mikononi namo shingoni mlimokuwa hamna manyoya.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akafunika mikono yake na sehemu laini ya shingo yake kwa ngozi za wana-mbuzi.