Genesis 27:28 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu akumiminie umande wa mbinguni; akupe ardhi yenye rutuba, nafaka na divai kwa wingi.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu na akupe umande wa mbinguni na utajiri wa duniani: wingi wa nafaka na divai mpya.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu akumiminie umande wa mbinguni; akupe ardhi yenye rutuba, nafaka na divai kwa wingi.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu na akupe umande kutoka mbinguni na utajiri wa duniani: wingi wa nafaka na divai mpya.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu na akupe umande kutoka mbinguni na utajiri wa duniani: wingi wa nafaka na divai mpya.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu akumiminie umande wa mbinguni; akupe ardhi yenye rutuba, nafaka na divai kwa wingi.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu akugawie umande wa mbinguni na manono ya nchi, ngano zako ziwe nyingi, hata mvinyo vilevile!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na ya manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu akumiminie umande wa mbinguni, akupe udongo wenye mboleo, ngano na divai kwa wingi.