Genesis 27:38 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Esau akamwambia baba yake, “Baba, kwani una baraka moja tu? Nibariki hata mimi, ee baba!” Hapo Esau akalia kwa sauti kubwa.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Esau akamwambia baba yake, “Je, baba yangu una baraka moja tu? Unibariki mimi pia, baba yangu!” Kisha Esau akalia kwa sauti kubwa.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Esau akamwambia babaye, Una mbaraka mmoja tu, babangu? Unibariki mimi, mimi nami, Ee babangu. Esau akapaza sauti yake, akalia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Esau akamwambia baba yake, “Baba, kwani una baraka moja tu? Nibariki hata mimi, ee baba!” Hapo Esau akalia kwa sauti kubwa.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Esau akamwambia baba yake, “Je, baba yangu una baraka moja tu? Unibariki mimi pia, baba yangu!” Kisha Esau akalia kwa sauti kubwa.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Esau akamwambia baba yake, “Je, baba yangu una baraka moja tu? Unibariki mimi pia, baba yangu!” Kisha Esau akalia kwa sauti kubwa.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Esau akamwambia babaye, Una mbaraka mmoja tu, babangu? Unibariki mimi, mimi nami, Ee babangu. Esau akapaza sauti yake, akalia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Esau akamwambia baba yake, “Baba, kwani una baraka moja tu? Nibariki hata mimi, ee baba!” Hapo Esau akalia kwa sauti kubwa.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Esau alipomwuliza baba yake: Baba, unayo mbaraka moja tu? Baba, nibariki mimi nami! Kisha Esau akaipaza sauti yake, akalia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Esau akamwambia babaye, Una mbaraka mmoja tu, babangu? Unibariki mimi, mimi nami, Ee babangu. Esau akapaza sauti yake, akalia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Esau akamwambia baba yake: “Baba, maana yake una baraka moja tu? Unibariki hata mimi, ee baba!” Halafu Esau akalia kwa sauti kubwa.