Genesis 28:19 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akapaita mahali hapo Betheli; lakini jina la awali la mji huo lilikuwa Luzu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mahali pale akapaita Betheli, ingawa mji ule hapo awali uliitwa Luzu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akapaita mahali hapo Betheli; lakini jina la awali la mji huo lilikuwa Luzu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mahali pale akapaita Betheli, ingawa mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mahali pale akapaita Betheli, ingawa mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akapaita mahali hapo Betheli; lakini jina la awali la mji huo lilikuwa Luzu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akapaita mahali pale jina lake Beteli (Nyumba ya Mungu), lakini kwanza ule mji uliitwa Luzi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaita jina la mahali pale Betheli; lakini jina la mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akaita pahali hapo Beteli, ni kusema “Nyumba ya Mungu”. Jina la mbele la muji ule lilikuwa Luzi.