Genesis 28:7 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Alitambua pia kuwa Yakobo alimtii mama yake na baba yake, akaenda Padan-aramu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake, naye ameenda Padan-Aramu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
na ya kuwa Yakobo amewatii babaye na mamaye, akaenda Padan-aramu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Alitambua pia kuwa Yakobo alimtii mama yake na baba yake, akaenda Padan-aramu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake naye amekwenda Padan-Aramu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake naye amekwenda Padan-Aramu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
na ya kuwa Yakobo amewatii babaye na mamaye, akaenda Padan-aramu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Alitambua pia kuwa Yakobo alimtii mama yake na baba yake, akaenda Padan-aramu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Tena akaona, ya kuwa Yakobo amemsikia baba yake na mama yake alipokwenda Mesopotamia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na ya kuwa Yakobo amewatii babaye na mamaye, akaenda Padan-aramu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akatambua vilevile kwamba Yakobo alimutii mama yake na baba yake, akakwenda Padani-Aramu.