Genesis 29:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa mzuri wa umbo na wa kupendeza.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Lea macho yake yalikuwa dhaifu, lakini Raheli alikuwa mzuri wa umbo, na mzuri uso.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa mzuri wa umbo na wa kupendeza.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Lea macho yake yalikuwa malegevu, lakini Raheli alikuwa mzuri wa umbo, na mzuri wa uso.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa mzuri wa umbo na wa kupendeza.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Macho yake Lea yalikuwa yemepumbaapumbaa, lakini Raheli alikuwa mzuri wa umbo lake na wa uso wake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Lea macho yake yalikuwa dhaifu, lakini Raheli alikuwa mzuri wa umbo, na mzuri uso.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lea alikuwa na macho zaifu, lakini Rakeli alikuwa muzuri na wa kupendeza.