Genesis 3:12 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Huyo mwanamume akajibu, “Mwanamke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la mti huo, nami nikala.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Adamu akasema, “Huyu mwanamke uliyenipa awe pamoja nami alinipa matunda ya huo mti, nami nikala.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Huyo mwanamume akajibu, “Mwanamke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la mti huo, nami nikala.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Adamu akasema, “Huyu mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa sehemu ya tunda kutoka kwenye huo mti, nami nikala.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Adamu akasema, “Huyu mwanamke uliyenipa awe pamoja nami alinipa sehemu ya tunda kutoka kwenye huo mti, nami nikala.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Huyo mwanamume akajibu, “Mwanamke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la mti huo, nami nikala.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Adamu akasema: Huyu mwanamke, uliyonipa kuwa nami, yeye amenipa tunda la mti ule, nikalila.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yule mwanaume akajibu: “Mwanamuke uliyenipa akae pamoja nami ndiye aliyenipa tunda la muti ule, nami nikakula.”