Genesis 30:12 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Zilpa, mtumishi wa Lea, alimzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mjakazi wa Lea akamzalia Yakobo mwana wa pili.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Zilpa, mtumishi wa Lea, alimzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mtumishi wa kike wa Lea akamzalia Yakobo mwana wa pili.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mtumishi wa kike wa Lea akamzalia Yakobo mwana wa pili.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Zilpa, mtumishi wa Lea, alimzalia Yakobo mtoto wa pili wa kiume.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Zilpa, kijakazi wake Lea, akamzalia Yakobo mtoto mume wa pili;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Zilpa, mjakazi wa Lea, akamzalia Yakobo mwana wa pili.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zilpa, mujakazi wa Lea, akamuzalia Yakobo mutoto wa pili mwanaume.