Genesis 30:13 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Lea akasema, “Nina furaha kiasi gani! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita jina Asheri.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Lea aliposema, “Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita Asheri.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Lea aliposema, “Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita Asheri.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lea akasema, “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Asheri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
ndipo, aliposema: Mimi ni mwenye shangwe, kwani wanawake watanishangilia. Kwa hiyo akamwita jina lake Aseri (Shangwe).
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lea akasema, Ni heri mimi, maana wanawake wataniita heri. Akamwita jina lake Asheri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lea akasema: “Bahati njema! Sasa wanawake wataniita heri.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Aseri.