Genesis 30:17 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Mungu akasikiliza ombi la Lea, naye akapata mimba na kumzalia Yakobo mtoto wa tano wa kiume.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Mungu akamsikiliza Lea, naye akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana wa tano.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Mungu akamsikia Lea, naye akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana wa tano.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Mungu akasikiliza ombi la Lea, naye akapata mimba na kumzalia Yakobo mtoto wa tano wa kiume.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Mungu akamsikiliza Lea, naye akapata mimba akamzalia Yakobo mwana wa tano.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Mungu akamsikiliza Lea, naye akapata mimba akamzalia Yakobo mwana wa tano.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Mungu akamsikia Lea, naye akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana wa tano.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Mungu akasikiliza ombi la Lea, naye akapata mimba na kumzalia Yakobo mtoto wa tano wa kiume.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Mungu akamsikia Lea, akapata mimba, akamzalia Yakobo mtoto mume wa tano.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Mungu akamsikia Lea, naye akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana wa tano.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mungu akasikiliza ombi la Lea, naye akapata mimba na kumuzalia Yakobo mutoto wa tano mwanaume.