Genesis 30:18 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lea akasema, “Mungu amenipa ujira wangu kwa sababu nilimpa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Isakari.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Lea akasema, “Mungu amenizawadia kwa kumpa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita jina Isakari.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lea akasema, Mungu amenipa ujira wangu, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu. Akamwita jina lake Isakari.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lea akasema, “Mungu amenipa ujira wangu kwa sababu nilimpa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Isakari.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Lea akasema, “Mungu amenizawadia kwa kumpa mume wangu mtumishi wangu wa kike.” Kwa hiyo akamwita Isakari.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Lea akasema, “Mungu amenizawadia kwa kumpa mume wangu mtumishi wangu wa kike.” Kwa hiyo akamwita Isakari.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lea akasema, Mungu amenipa ujira wangu, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu. Akamwita jina lake Isakari.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lea akasema, “Mungu amenipa ujira wangu kwa sababu nilimpa mume wangu mjakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Isakari.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Lea aliposema: Mungu amenipa mshahara wangu, kwa kuwa nimempa mume wangu kijakazi wangu, kwa hiyo akamwita jina lake Isakari (Mtu wa Mshahara).
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lea akasema, Mungu amenipa ujira wangu, kwa sababu nimempa mume wangu mjakazi wangu. Akamwita jina lake Isakari.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lea akasema: “Mungu amenipa mushahara wangu kwa sababu nilimupa mume wangu mujakazi wangu.” Kwa hiyo akamwita mutoto yule Isakari.