Genesis 30:23 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Raheli akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume, akasema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akapata mimba na akamzaa mwana; akasema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akapata mimba, akazaa mwana, akasema, Mungu ameondoa aibu yangu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Raheli akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume, akasema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akapata mimba na akamzaa mwana na kusema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akapata mimba na akamzaa mwana na kusema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akapata mimba, akazaa mwana, akasema, Mungu ameondoa aibu yangu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Raheli akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume, akasema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo naye akapata mimba, akazaa mtoto mume, akasema: Mungu ameniondolea yaliyonitia soni,
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akapata mimba, akazaa mwana, akasema, Mungu ameondoa aibu yangu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Rakeli akapata mimba, akazaa mutoto mwanaume, akasema: “Mungu ameniondolea haya yangu.”