Genesis 30:24 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Yosefu akisema, “Mwenyezi-Mungu na aniongezee mtoto mwingine wa kiume.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akamwita jina Yusufu, akasema, “Mwenyezi Mungu na anipe mwana mwingine.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamwita jina lake Yusufu, akisema, Bwana aniongeze mwana mwingine.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Yosefu akisema, “Mwenyezi-Mungu na aniongezee mtoto mwingine wa kiume.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akamwita Yosefu na kusema, “BWANA na anipe mwana mwingine.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akamwita Yusufu na kusema, “ bwana na anipe mwana mwingine.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamwita jina lake Yusufu, akisema, Bwana aniongeze mwana mwingine.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kwa hiyo akamwita mtoto huyo Yosefu akisema, “Mwenyezi-Mungu na aniongezee mtoto mwingine wa kiume.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akamwita jina lake Yosefu (Huongeza) akisema: Bwana aniongezee mwana mwingine!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamwita jina lake Yusufu, akisema, Bwana aniongeze mwana mwingine.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kwa hiyo akamwita mutoto yule Yosefu akisema: “Yawe aniongezee mutoto mwingine mwanaume.”