Genesis 30:34 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Labani akasema, “Vema! Na iwe kama ulivyosema.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Labani akasema, “Ninakubali; na iwe kama ulivyosema.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Labani akasema, “Vema! Na iwe kama ulivyosema.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Labani akasema, “Ninakubali na iwe kama ulivyosema.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Labani akasema, “Ninakubali na iwe kama ulivyosema.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Labani akasema, “Vema! Na iwe kama ulivyosema.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Labani akamwitikia kwamba: Basi, na viwe hivyo, ulivyosema!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Labani akasema, Tazama, na iwe hivi kama usemavyo.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Labani akasema: “Sawa! Ikuwe kama vile ulivyosema.”