Genesis 30:36 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Labani akajitenga na Yakobo umbali wa mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akabaki akichunga wanyama wa Labani waliosalia.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha Labani akamwacha Yakobo kwa mwendo wa safari ya siku tatu, naye Yakobo akaendelea kuchunga lile kundi la Labani lililobaki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akajitenga na Yakobo mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akachunga wanyama wa Labani waliosalia.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Labani akajitenga na Yakobo umbali wa mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akabaki akichunga wanyama wa Labani waliosalia.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha Labani akamwacha Yakobo kwa mwendo wa safari ya siku tatu kati yake na Yakobo, wakati Yakobo akiendelea kuchunga lile kundi la Labani lililobaki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha Labani akamwacha Yakobo kwa mwendo wa safari ya siku tatu kati yake na Yakobo, wakati Yakobo akiendelea kuchunga lile kundi la Labani lililobaki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akajitenga na Yakobo mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akachunga wanyama wa Labani waliosalia.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Labani akajitenga na Yakobo umbali wa mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akabaki akichunga wanyama wa Labani waliosalia.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akawapeleka mwendo wa siku tatu, pawe hapo mahali pakubwa katikati yake yeye na Yakobo. Kisha Yakobo akapata kuwachunga mbuzi na kondoo wake Labani waliosalia.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akajitenga na Yakobo mwendo wa siku tatu; naye Yakobo akachunga wanyama wa Labani waliosalia.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Labani akajitenga na Yakobo umbali wa mwendo wa siku tatu, naye Yakobo akabaki akichunga nyama wa Labani waliobaki.