Genesis 30:38 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akazisimamisha fito hizo alizozibambua mbele ya wanyama katika mabirika ya kunyweshea maji, mahali ambapo wanyama walikuja kunywa maji. Na kwa kuwa wanyama walichukua mimba walipokuja kunywa maji,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kisha akaweka fito hizo katika mabirika yote ya kunyweshea mifugo, ili ziwe mbele ya makundi walipokuja kunywa maji. Wanyama walipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitaji mbegu,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akazisimamisha fito hizo alizozibambua katika mabirika ya kunyweshea maji, pale walipokuja wanyama wanywe; wakachukua mimba walipokuja kunywa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akazisimamisha fito hizo alizozibambua mbele ya wanyama katika mabirika ya kunyweshea maji, mahali ambapo wanyama walikuja kunywa maji. Na kwa kuwa wanyama walichukua mimba walipokuja kunywa maji,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kisha akaweka fito alizozibambua kwenye mabirika yote ya kunyweshea mifugo, ili ziwe mbele ya makundi walipokuja kunywa maji. Wanyama walipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitaji mbegu,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kisha akaweka fito alizozibambua kwenye mabirika yote ya kunyweshea mifugo, ili ziwe mbele ya makundi walipokuja kunywa maji. Wanyama walipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitaji mbegu,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akazisimamisha fito hizo alizozibambua katika mabirika ya kunyweshea maji, pale walipokuja wanyama wanywe; wakachukua mimba walipokuja kunywa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akazisimamisha fito hizo alizozibambua mbele ya wanyama katika mabirika ya kunyweshea maji, mahali ambapo wanyama walikuja kunywa maji. Na kwa kuwa wanyama walichukua mimba walipokuja kunywa maji,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kisha akayasimika hayo matawi, aliyoyabandua hivyo, penye birika za kuwanyweshea maji mbuzi na kondoo kwamba: wao wakija kunywa maji, wayaone hayo, wanyegeshwe wakija kunywa.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akazisimamisha fito hizo alizozibambua katika mabirika ya kunyweshea maji, pale walipokuja wanyama wanywe; wakachukua mimba walipokuja kunywa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akasimamisha fito zile alizomenya maganda mbele ya nyama katika mabirika ya kukunyweshea maji, pahali ambapo nyama walikuja kukunywa maji. Na kwa sababu nyama walipata mimba walipokuja kunywa maji,