Genesis 30:41 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Ikawa kila yalipofika majira ya wanyama wenye afya kuchukua mimba, Yakobo aliziweka zile fito mbele yao katika mabirika ya kunyweshea maji, ili wachukue mimba penye fito hizo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kila mara wanyama wenye nguvu walipohitaji mbegu, Yakobo aliweka zile fito kwenye mabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwe karibu na hizo fito,
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Ikawa kila walipopata mimba wanyama wenye nguvu, Yakobo akaziweka zile fito mbele ya macho ya hao wanyama katika mabirika ili kwamba wachukue mimba kati ya zile fito,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Ikawa kila yalipofika majira ya wanyama wenye afya kuchukua mimba, Yakobo aliziweka zile fito mbele yao katika mabirika ya kunyweshea maji, ili wachukue mimba penye fito hizo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kila mara wanyama wenye nguvu walipohitaji mbegu, Yakobo aliweka zile fito kwenye mabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwe karibu na hizo fito,
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kila mara wanyama wenye nguvu walipohitaji mbegu, Yakobo aliweka zile fito kwenye mabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwe karibu na hizo fito,
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Ikawa kila walipopata mimba wanyama wenye nguvu, Yakobo akaziweka zile fito mbele ya macho ya hao wanyama katika mabirika ili kwamba wachukue mimba kati ya zile fito,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Ikawa kila yalipofika majira ya wanyama wenye afya kuchukua mimba, Yakobo aliziweka zile fito mbele yao katika mabirika ya kunyweshea maji, ili wachukue mimba penye fito hizo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kila mara mbuzi na kondoo wenye nguvu waliponyegeshwa, Yakobo akayaweka yale matawi machoni pao mbuzi na kondoo penye birika, wazidi kunyegeshwa wakiyaona hayo matawi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ikawa kila walipopata mimba wanyama wenye nguvu, Yakobo akaziweka zile fito mbele ya macho ya hao wanyama katika mabirika ili kwamba wachukue mimba kati ya zile fito,
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ikakuwa kila mara ulipofika wakati wa nyama wenye afya kupata mimba, Yakobo aliweka zile fito mbele yao katika mabirika ya kukunyweshea maji, kusudi wapate mimba kwenye fito zile.