Genesis 30:6 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Raheli akasema, “Mungu amenitendea sawa, amekisikia kilio changu na kunipa mtoto wa kiume.” Akamwita mtoto huyo Dani.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo Raheli akasema, “Mungu amenipa haki yangu; amesikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa hiyo akamwita jina Dani.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Raheli akasema, “Mungu amenitendea sawa, amekisikia kilio changu na kunipa mtoto wa kiume.” Akamwita mtoto huyo Dani.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo Raheli akasema, “Mungu amenipatia haki yangu, amesikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa sababu hiyo akamwita Dani.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo Raheli akasema, “Mungu amenipa haki yangu, amesikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa sababu hiyo akamwita Dani.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Raheli akasema, “Mungu amenitendea sawa, amekisikia kilio changu na kunipa mtoto wa kiume.” Akamwita mtoto huyo Dani.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Ndipo, Raheli aliposema: Mungu amenihukumia, akaisikia nayo sauti yangu, akanipa mtoto mume, kwa sababu hii akamwita jina lake Dani (Mhukumu).
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Rakeli akasema: “Mungu amenitendea sawa, amesikia kilio changu na kunipa mutoto mwanaume.” Akamwita mutoto yule Dani.