Genesis 30:9 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mjakazi wake Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Lea alipoona ya kuwa ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, akampa Yakobo kuwa mkewe.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mtumishi wake wa kike Zilpa naye akampa Yakobo awe mke wake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mtumishi wake wa kike Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Lea alipoona ya kuwa ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, akampa Yakobo kuwa mkewe.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Lea alipoona ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, na kumpa Yakobo ili awe mkewe.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Lea alipoona, ya kuwa amekoma kuzaa, akamchukua kijakazi wake Zilpa, akampa Yakobo kuwa mkewe.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Lea alipoona ya kuwa ameacha kuzaa, alimtwaa Zilpa, mjakazi wake, akampa Yakobo kuwa mkewe.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Lea alipoona ameacha kuzaa, alimutwaa Zilpa, mujakazi wake, na kumupa Yakobo kusudi akuwe muke wake.