Genesis 31:11 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Malaika wa Mungu akaongea nami katika ndoto hiyo, akaniita, ‘Yakobo,’ nami nikaitika, ‘Naam!’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Malaika wa Mungu akaniita katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Na malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, Yakobo! Nikasema, Mimi hapa.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Malaika wa Mungu akaongea nami katika ndoto hiyo, akaniita, ‘Yakobo,’ nami nikaitika, ‘Naam!’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Na malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, Yakobo! Nikasema, Mimi hapa.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Malaika wa Mungu akaongea nami katika ndoto hiyo, akaniita, ‘Yakobo,’ nami nikaitika, ‘Naam!’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto: Yakobo! Nikasema: Mimi hapa!
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Na malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, Yakobo! Nikasema, Mimi hapa.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Malaika wa Mungu akaongea nami katika ndoto hiyo, akaniita: ‘Yakobo’, nami nikaitika, ‘Niko hapa!’