Genesis 31:48 — Compare Translations

10 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Labani akasema, “Rundo hili ni ushahidi kati yako na mimi leo.” Kwa hiyo Labani akaliita Galeedi,
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Labani akasema, Chungu hii ni shahidi kati ya mimi na wewe hivi leo. Kwa hiyo likaitwa jina lake Galedi,
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Labani akasema, “Rundo hili ni ushahidi kati yako na mimi leo.” Kwa hiyo Labani akaliita Galeedi,
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Labani akasema, Chungu hii ni shahidi kati ya mimi na wewe hivi leo. Kwa hiyo likaitwa jina lake Galedi,
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Labani akasema, “Rundo hili ni ushahidi kati yako na mimi leo.” Kwa hiyo Labani akaliita Galeedi,
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Labani akasema; Chungu hili leo ni shahidi wetu mimi na wewe, kwa hiyo likaitwa Galeedi (Gileadi);
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Labani akasema, Chungu hii ni shahidi kati ya mimi na wewe hivi leo. Kwa hiyo likaitwa jina lake Galedi,