Genesis 32:16 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akawakabidhi watumishi wake, kila mmoja kundi lake, akawaambia, “Nitangulieni mkiacha nafasi kati ya kundi na kundi katika msafara wenu.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akaviweka chini ya uangalizi wa watumishi wake, kila kundi peke yake, na kuwaambia, “Nitangulieni na kuacha nafasi kati ya makundi.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akawatia mkononi mwa watumwa wake, kila kundi peke yake. Naye akawaambia watumwa wake, Vukeni mbele yangu, mkaache nafasi kati ya kundi na kundi.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akawakabidhi watumishi wake, kila mmoja kundi lake, akawaambia, “Nitangulieni mkiacha nafasi kati ya kundi na kundi katika msafara wenu.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akaviweka chini ya uangalizi wa watumishi wake, kila kundi peke yake na kuwaambia, “Nitangulieni na kuacha nafasi kati ya makundi.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akaviweka chini ya uangalizi wa watumishi wake, kila kundi peke yake na kuwaambia, “Nitangulieni na kuacha nafasi kati ya makundi.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akawatia mkononi mwa watumwa wake, kila kundi peke yake. Naye akawaambia watumwa wake, Vukeni mbele yangu, mkaache nafasi kati ya kundi na kundi.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akawakabidhi watumishi wake, kila mmoja kundi lake, akawaambia, “Nitangulieni mkiacha nafasi kati ya kundi na kundi katika msafara wenu.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akawatia mikononi mwa watumwa wake, kundi kwa kundi peke yake, akawaambia hawa watumwa wake: Nitangulieni, tena katikati ya kila makundi mawili acheni nafasi.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akawatia mkononi mwa watumwa wake, kila kundi peke yake. Naye akawaambia watumwa wake, Vukeni mbele yangu, mkaache nafasi kati ya kundi na kundi.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
ngamia makumi tatu wanaonyonyesha pamoja na watoto wao, ngombe dike makumi ine, ngombe dume kumi, punda dike makumi mbili, na dume kumi.