Genesis 32:17 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Akamwagiza yule aliyetangulia, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, ‘Wewe ni mtumishi wa nani? Unakwenda wapi? Na wanyama hawa ni wa nani?’
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Akamwagiza yule aliyetangulia hivi, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, ‘Wewe ni wa nani? Unaenda wapi? Wanyama hawa wote mbele yako ni mali ya nani?’
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akamwagiza yule wa kwanza akasema, Esau, ndugu yangu, akikukuta, na kukuuliza, akisema, Wewe u wa nani? Unakwenda wapi? Tena ni wa nani hawa walio mbele yako?
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Akamwagiza yule aliyetangulia, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, ‘Wewe ni mtumishi wa nani? Unakwenda wapi? Na wanyama hawa ni wa nani?’
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Akamwagiza yule aliyetangulia kuwa, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, ‘Wewe ni wa nani? Unakwenda wapi? Wanyama hawa wote mbele yako ni mali ya nani?’
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Akamwagiza yule aliyetangulia kuwa, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, ‘Wewe ni wa nani? Unakwenda wapi? Wanyama hawa wote mbele yako ni mali ya nani?’
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akamwagiza yule wa kwanza akasema, Esau, ndugu yangu, akikukuta, na kukuuliza, akisema, Wewe ni wa nani? Unakwenda wapi? Tena ni wa nani hawa walio mbele yako?
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Akamwagiza yule aliyetangulia, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, ‘Wewe ni mtumishi wa nani? Unakwenda wapi? Na wanyama hawa ni wa nani?’
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye wa kwanza akamwagiza kwamba: Mkubwa wangu Esau atakapokutana na wewe na kukuuliza kwamba: Wewe mtu wa nani? Unakwenda wapi? Nao hao nyama, wanaowatanguliza, ni wa nani?
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akamwagiza yule wa kwanza akasema, Esau, ndugu yangu, akikukuta, na kukuuliza, akisema, Wewe u wa nani? Unakwenda wapi? Tena ni wa nani hawa walio mbele yako?
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Akawapatia watumishi wake, kila mumoja kundi lake, akawaambia: “Mutangulie mukiacha nafasi kati ya kundi na kundi katika mustari wenu.”