Genesis 32:2 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yakobo alipowaona, akasema, “Hili ni jeshi la Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yakobo alipowaona, akasema, “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali pale Mahanaimu.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Naye Yakobo alipowaona, alisema, Hili ni jeshi la Mungu. Akapaita mahali pale, Mahanaimu.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yakobo alipowaona, akasema, “Hili ni jeshi la Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yakobo alipowaona, akasema, “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali pale Mahanaimu.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yakobo alipowaona, akasema, “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali pale Mahanaimu.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Naye Yakobo alipowaona, alisema, Hili ni jeshi la Mungu. Akapaita mahali pale, Mahanaimu.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yakobo alipowaona, akasema, “Hili ni jeshi la Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Yakobo alipowaona akasema: Hapa ndipo kambi la Mungu, akapaita mahali pale Mahanaimu (Makambi Mawili).
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Naye Yakobo alipowaona, alisema, Hili ni jeshi la Mungu. Akapaita mahali pale, Mahanaimu.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yakobo akaendelea na safari yake. Basi, wamalaika wa Mungu wakakutana naye.