Genesis 32:21 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Basi, akatanguliza zawadi zake, lakini yeye mwenyewe akalala kambini usiku huo.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo zawadi za Yakobo zilitangulia mbele yake, lakini yeye mwenyewe alilala kambini usiku ule.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Basi ile zawadi ikavuka mbele yake, naye mwenyewe akakaa usiku ule kambini.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Basi, akatanguliza zawadi zake, lakini yeye mwenyewe akalala kambini usiku huo.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo zawadi za Yakobo zilitangulia mbele yake, lakini yeye mwenyewe alilala kambini usiku ule.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo zawadi za Yakobo zilitangulia mbele yake, lakini yeye mwenyewe alilala kambini usiku ule.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Basi ile zawadi ikavuka mbele yake, naye mwenyewe akakaa usiku ule kambini.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Basi, akatanguliza zawadi zake, lakini yeye mwenyewe akalala kambini usiku huo.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Kwa hiyo matunzo yakamtangulia, naye akalala usiku huo humo kambini.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Basi ile zawadi ikavuka mbele yake, naye mwenyewe akakaa usiku ule kambini.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Zaidi ya yote, mutamwambia: ‘Mutumishi wako Yakobo yuko nyuma, anafuata.’ ” Yakobo alifanya hivyo akifikiri: “Pengine nitamutuliza kwa zawadi hizi ninazomutangulizia na kisha nitaweza kuonana naye macho kwa macho; labda atanipokea.”