Genesis 32:22 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Usiku huohuo Yakobo akaamka, akawachukua wake zake wawili, wajakazi wake wawili na watoto wake kumi na mmoja, akapita kivuko cha Yaboki.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Usiku ule Yakobo akaamka, akawachukua wake zake wawili, wajakazi wake wawili, na wanawe kumi na mmoja, akavuka kivuko cha Mto Yaboki.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akaondoka usiku ule akawatwaa wakeze wawili, na vijakazi wake wawili, na wanawe kumi na mmoja, akavuka kivuko cha Yaboki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Usiku huohuo Yakobo akaamka, akawachukua wake zake wawili, wajakazi wake wawili na watoto wake kumi na mmoja, akapita kivuko cha Yaboki.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Usiku ule Yakobo akaamka akawachukua wake zake wawili, watumishi wake wawili wa kike na wanawe kumi na mmoja na akavuka kivuko cha Yaboki.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Usiku ule Yakobo akaamka akawachukua wake zake wawili, watumishi wake wawili wa kike na wanawe kumi na mmoja na akavuka kivuko cha Yaboki.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akaondoka usiku ule akawatwaa wakeze wawili, na vijakazi wake wawili, na wanawe kumi na mmoja, akavuka kivuko cha Yaboki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Usiku huohuo Yakobo akaamka, akawachukua wake zake wawili, wajakazi wake wawili na watoto wake kumi na mmoja, akapita kivuko cha Yaboki.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Usiku huo alipoamka akawachukua wakeze wawili na wale vijakazi wawili na wanawe kumi na mmoja, akaenda kuvuka kivukoni kwa Yakobo;
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akaondoka usiku ule akawatwaa wakeze wawili, na vijakazi wake wawili, na wanawe kumi na mmoja, akavuka kivuko cha Yaboki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, akatanguliza zawadi zake, lakini yeye mwenyewe akalala katika kambi usiku ule.