Genesis 32:24 — Compare Translations

11 translations compared side by side

Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Yakobo alibaki peke yake. Mtu mmoja akaja, akapigana naye mwereka mpaka alfajiri.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Kwa hiyo Yakobo akaachwa peke yake; naye mtu mmoja akashikana naye mweleka hadi mapambazuko.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Yakobo alibaki peke yake. Mtu mmoja akaja, akapigana naye mwereka mpaka alfajiri.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Kwa hiyo Yakobo akaachwa peke yake na mtu mmoja akashikana naye mweleka mpaka mapambazuko.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Kwa hiyo Yakobo akaachwa peke yake na mtu mmoja akashikana naye mweleka mpaka mapambazuko.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Yakobo alibaki peke yake. Mtu mmoja akaja, akapigana naye mwereka mpaka alfajiri.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Naye Yakobo mwenyewe akasalia peke yake ng'ambo ya huko. Mara mtu akakamatana naye, mpaka jua lilipopambazuka.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Kisha kuwavukisha ngambo ya kijito wale waliokuwa nao na mali yake yote,