Genesis 32:26 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Kisha yule mtu akamwambia Yakobo, “Niache niende zangu, kwani kunapambazuka.” Lakini Yakobo akamwambia, “Sikuachi kamwe, mpaka umenibariki!”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Ndipo yule mtu akasema, “Niache niende, kwa kuwa ni mapambazuko.” Lakini Yakobo akajibu, “Sitakuacha uende usiponibariki.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Kisha yule mtu akamwambia Yakobo, “Niache niende zangu, kwani kunapambazuka.” Lakini Yakobo akamwambia, “Sikuachi kamwe, mpaka umenibariki!”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Ndipo yule mtu akasema, “Niache niende, kwa kuwa ni mapambazuko.” Lakini Yakobo akajibu, “Sitakuacha uende usiponibariki.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Ndipo yule mtu akasema, “Niache niende, kwa kuwa ni mapambazuko.” Lakini Yakobo akajibu, “Sitakuacha uende usiponibariki.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Kisha yule mtu akamwambia Yakobo, “Niache niende zangu, kwani kunapambazuka.” Lakini Yakobo akamwambia, “Sikuachi kamwe, mpaka umenibariki!”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Akamwambia Yakobo: Niache, niende zangu! Kwani jua limepambazuka. Lakini akasema: Sitakuacha, usiponibariki.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Mutu yule alipoona kwamba hawezi kumushinda Yakobo, alimugusa Yakobo kwenye maunganio ya kiuno, naye akateguka alipokuwa anapigana naye.