Genesis 32:31 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
Jua lilikuwa limekwisha chomoza wakati Yakobo alipoondoka Penueli; akawa anachechemea kwa sababu ya kiuno chake.
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Jua lilikuwa linachomoza Yakobo alipoondoka Penueli, naye alikuwa akichechemea kwa sababu ya nyonga yake.
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Jua likamzukia akivuka Penueli, akachechemea kwa sababu ya paja la mguu wake.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
Jua lilikuwa limekwisha chomoza wakati Yakobo alipoondoka Penueli; akawa anachechemea kwa sababu ya kiuno chake.
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Jua lilikuwa linachomoza Yakobo alipoondoka Penueli, naye alikuwa akichechemea kwa sababu ya nyonga yake.
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Jua lilikuwa linachomoza Yakobo alipoondoka Penueli, naye alikuwa akichechemea kwa sababu ya nyonga yake.
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Jua likamzukia akivuka Penueli, akachechemea kwa sababu ya paja la mguu wake.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
Jua lilikuwa limekwisha chomoza wakati Yakobo alipoondoka Penueli; akawa anachechemea kwa sababu ya kiuno chake.
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
Alipovuka hapo Penieli, usiku ukamchea, naye alikuwa akichechemea kwa ajili ya kiuno chake.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Jua likamzukia akivuka Penueli, akachechemea kwa sababu ya paja la mguu wake.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Yakobo akaita pahali pale Penueli, akisema: “Nimemwona Mungu uso kwa uso, nami sikukufa.”