Genesis 32:33 — Compare Translations

1 translations compared side by side

Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Ndiyo maana mpaka leo Waisraeli hawakuli mushipa wa maunganio ya kiuno, kwa maana yule mutu alimugusa Yakobo kwa maunganio katika mushipa wa kiuno chake.