Genesis 32:8 — Compare Translations
11 translations compared side by side
Swahili (BHN) (Habari Njema) 2001
akifikiri, “Kama Esau akija na kuliangamiza kundi moja, basi, kundi litakalosalia litaponyoka.”
Swahili (Neno: Maandiko Matakatifu 2024)
Yakobo alifikiri, “Kama Esau akija na kushambulia kundi moja, kundi lililobaki litanusurika.”
Swahili (SRUV) (Swahili Revised Union Version)
Akasema, Akija Esau kwa kundi la kwanza, akalipiga, kundi litakalosalia litaokoka.
Swahili BHNTLK (Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza)
akifikiri, “Kama Esau akija na kuliangamiza kundi moja, basi, kundi litakalosalia litaponyoka.”
Swahili NEN (Neno: Bibilia Takatifu 2025)
Yakobo alifikiri, “Kama Esau akija na kushambulia kundi moja, kundi lililobaki litaweza likanusurika.”
Swahili NMM (Neno: Maandiko Matakatifu) 2018
Yakobo alifikiri, “Kama Esau akija na kushambulia kundi moja, kundi lililobaki litaweza likanusurika.”
Swahili RSUVDC (BIBLIA KISWAHILI)
Akasema, Akija Esau kwa kundi la kwanza, akalipiga, kundi litakalosalia litaokoka.
Swahili SCLDC10 (BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA)
akifikiri, “Kama Esau akija na kuliangamiza kundi moja, basi, kundi litakalosalia litaponyoka.”
Swahili SRB37 (Swahili Roehl Bible 1937)
akasema: Esau atakapojia kikosi kimoja na kukishinda, hicho kingine kitakachosalia kitapata kupona.
Swahili SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Akasema, Akija Esau kwa kundi la kwanza, akalipiga, kundi litakalosalia litaokoka.
Swahili SWC02 (BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002)
Basi, Yakobo akaogopa sana na kufazaika. Akawagawanya katika makundi mawili watu waliokuwa pamoja naye, kondoo, nyama wengine na ngamia,